forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
717 B
Markdown
32 lines
717 B
Markdown
|
# Taarifa unganishi:
|
||
|
|
||
|
Paul anazungumzia kuhusu vita iliyopo katika utu wake wa ndani kati ya dhambi katika utu wake wa ndani na sheria ya Mungu - kati ya dhambi na wema.
|
||
|
|
||
|
# Hivyo
|
||
|
|
||
|
Paulo anatambulisha mada mpya.
|
||
|
|
||
|
# kilicho kizuri
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha sheria ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# fanyika kifo kwangu
|
||
|
|
||
|
"ilisababisha mimi nife"
|
||
|
|
||
|
# Isiwe hivyo kamwe
|
||
|
|
||
|
"Kwa hakika hiyo si kweli!" Msemo huu unatoa jibu hasi kwa nguvu kufuatia swali la mtego la awali. Unaweza kuwa na msemo unaofanana na huu katika lugha ambao unaweza kuutumia.
|
||
|
|
||
|
# dhambi...ilileta mauti ndani yangu
|
||
|
|
||
|
Paulo anaiona dhambi kana kwamba ni mtu anayeweza kutenda.
|
||
|
|
||
|
# ilileta mauti ndani yangu
|
||
|
|
||
|
"ilinitenga mimi na Mungu"
|
||
|
|
||
|
# kwa njia ya amri
|
||
|
|
||
|
"kwasababu mimi sikuitii amri"
|