sw_tn/rom/07/06.md

12 lines
205 B
Markdown

# Taarifa unganishi:
Paulo anatukumbusha kwamba Mungu hatufanyi sisi kuwa watakatifu kwa njia ya sheria.
# sisi
kiwakilishi hiki cha jina humaanisha Paulo na wale walioamini.
# barua
"sheria ya Musa"