sw_tn/rom/07/04.md

238 B

Kwa hiyo

Hii inarejea maneno haya "Kwa sababu ya jinsi sheria hufanya kazi"

tuweze kuzaa matunda kwa ajili ya Mungu

"tuweze kufanya mambo yanayompendeza Mungu"

kuzaa matunda

Hapa inamaanisha kubadilika hali ya ndani ya kiroho.