sw_tn/rom/06/19.md

893 B

Naongea kama mwanadamu

Paulo anaeleza "dhambi" na "utiifu" kama "utumwa". "Ninazungumza kuhusu utumwa kuelezea dhambi na utiifu."

kwa sababu ya udhaifu wa mwili wako

Mara nyingi Paulo utumia neno "mwili" kama kinyume cha "roho". "kwa sababu hamuelewi kwa kina mambo ya kiroho."

ilitolewa sehemu ya mwili wenu kama watumwa kwa uchafu na uovu

Hapa, "sehemu ya mwili" urejea kwa mtu kamili. "kujitoa kwenu kama watumwa kwa kila kiovu na kuto mpendeza Mungu"

toeni sehemu ya mwili wenu kama watumwa wa haki kwa ajili ya utakaso

"jitoeni kama watumwa kwa kile kilicho sahihi mbele zake Mungu ili kwamba awatenge na awape nguvu kumtumkia yeye"

Kwa wakati huo, ni tunda lipi ulipata kwa mambo ambayo sasa unayaonea aibu?

Paulo anatumia swali kusisitiza kwamba kutenda dhambi hakuleti kitu chochote kizuri. "Hakupata chochote kwa kufanya mambo hayo ambayo kwa sasa yanatia aibu."