sw_tn/rom/05/01.md

618 B

Kuunganishi Sentensi

Paulo anaanza kusema mambo mengi tofauti yanayotokea pindi Mungu anawathibitisha wakristo

Tangu

"Kwa sababu"

sisi...vyetu

Yote yanayotokea kwa "sisi" na "vyetu" urejea kwa wakristo wote na inapaswa kuhusisha.

kupitia Bwana wetu Yesu Kristo

"kwa sababu ya Bwana wetu Yesu Kristo"

Bwana

Hapa "Bwana" ina maanisha kwamba Yesu ni Mungu

Kupitia yeye sisi pia tuna upenyo kwa imani kufikia neema ambayo tunasimama

Paulo analinganisha wakristo kupokea neema kwa mtu aliyesimama mbele ya mfalme. "Kwa sababu ni ndani ya Yesu tuna amini, Mungu utupa neema kusimama mbele ya Mungu."