forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
618 B
Markdown
24 lines
618 B
Markdown
|
# Kuunganishi Sentensi
|
||
|
|
||
|
Paulo anaanza kusema mambo mengi tofauti yanayotokea pindi Mungu anawathibitisha wakristo
|
||
|
|
||
|
# Tangu
|
||
|
|
||
|
"Kwa sababu"
|
||
|
|
||
|
# sisi...vyetu
|
||
|
|
||
|
Yote yanayotokea kwa "sisi" na "vyetu" urejea kwa wakristo wote na inapaswa kuhusisha.
|
||
|
|
||
|
# kupitia Bwana wetu Yesu Kristo
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu ya Bwana wetu Yesu Kristo"
|
||
|
|
||
|
# Bwana
|
||
|
|
||
|
Hapa "Bwana" ina maanisha kwamba Yesu ni Mungu
|
||
|
|
||
|
# Kupitia yeye sisi pia tuna upenyo kwa imani kufikia neema ambayo tunasimama
|
||
|
|
||
|
Paulo analinganisha wakristo kupokea neema kwa mtu aliyesimama mbele ya mfalme. "Kwa sababu ni ndani ya Yesu tuna amini, Mungu utupa neema kusimama mbele ya Mungu."
|