sw_tn/rom/04/intro.md

1.5 KiB

Warumi 04 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi kwenye upande wa kulia zaidi ya maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hili kwa mistari ya 7-8 ya sura hii, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.

Dhana maalum katika sura hii

Kusudi la sheria ya Musa

Paulo anaendeleza nyenzo kutoka sura ya 3. Anaelezea jinsi Abrahamu, baba wa Israeli, alivyohesabiwa haki. Hata Abrahamu hakuweza kuhesabiwa haki kwa yale aliyoyafanya. Kutii sheria ya Musa hakuwezi kumfanya mtu awe na haki na Mungu. Kutii amri za Mungu ni njia ambayo mtu anaonyesha kuwa anamwamini Mungu. Watu daima wamekuwa mwenye haki kwa imani tu. (See: [[rc:///tw/dict/bible/kt/justice]] and [[rc:///tw/dict/bible/kt/lawofmoses]] and rc://*/tw/dict/bible/kt/faith)

Tohara

Tohara ilikuwa muhimu kwa Waisraeli. Ilibainisha mtu kama mzao wa Abrahamu. Pia ilikuwa ishara ya agano kati ya Abrahamu na Yahweh. Hata hivyo, hakuna mtu aliyehesabiwa haki kwa kutahiriwa tu. (See: [[rc:///tw/dict/bible/kt/circumcise]] and [[rc:///tw/dict/bible/kt/covenant]])

Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii

Maswali ya uhuishaji

Mara kwa mara Paulo hutumia maswali ya uhuishaji katika sura hii. Inaonekana nia ya maswali haya ya uhuishaji ni kumfanya msomaji kuona dhambi zake ili atamtegemee Yesu. (See: [[rc:///ta/man/translate/figs-rquestion]] and [[rc:///tw/dict/bible/kt/guilt]] and rc://*/tw/dict/bible/kt/sin)

<< | >>