sw_tn/rom/04/01.md

505 B

Sentensi unganishi

Paul anathibitisha kwamba hata katika zamani waumini walikuwa haki kwa imani na si kwa sheria.

Tutapata nini basi kusema kwamba Abrahamu baba yetu kwa jinsi ya mwili, kupatikana?

Paulo anatumia swali kupata mawazo ya msomaji na kuanza kuzungumza juu ya kitu kipya. AT 'Hivi ndivyo Ibrahimu baba yetu kimwili kupatikana.

Kwa nini andiko husema

"Kwa maana tunaweza kusoma katika maandiko"

na ikahesabiwa kwake kuwa haki

"na Mungu alimtambua Abrahamu kuwa mtu mwenye haki"