sw_tn/rom/04/09.md

344 B

Kisha ni baraka hii alitamka tu juu ya wote waliotahiriwa, au pia juu ya wale wasiotahiriwa?

'Je, Mungu awabariki tu wale waliotahiriwa, au pia wale wale ambao si waliotahiriwa?'

tunasema

Paulo akihutubia waumini wote Wayahudi na wa Mataifa.

Imani ilihesabiwa kwa Abraham kwa haki

"Mungu alichukuliwa imani ya Ibrahimu kuwa ni haki"