sw_tn/rom/03/15.md

498 B

Wao...wao... Watu hawa.... wao

Hii inahusisha Wayahudi na Wayunani

Miguu yao ina mbio kumwaga damu

"Wapo katika haraka ya kudhuru na kuua watu"

Uharibifu na mateso ni katika njia zao

'Kila mtu anaishi katika njia hiyo kwamba wao kwa makusudi kujaribu kuharibu wengine na kusababisha wao kuteseka'

Njia ya amani

"Njia" ni "barabara" au "njia" AT: "Jinsi ya kuishi kwa amani na wengine"

Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yao

"Kila mtu anakataa kumpa Mungu heshima anayostahili"