sw_tn/rom/02/10.md

879 B

Lakini sifa, heshima na amani vitakuja.

"Lakini Mungu atatoa sifa, heshima na amani"

Tenda mema

"endeleeni kufanya yaliyo mema"

Kwa Wayahudi kwanza , na pia kwa Wagiriki

"Mungu atawapa tuzo Wayahudi kwanza, na baada ya hapo ambao sio Wayahudi"

Kwa maana hakuna upendeleo kwa Mungu

"Kwa kuwa Mungu hapendelei baadhi ya watu juu ya wengine" au "kwa kuwa Mungu anausawa kwa watu wote"

Kwa wingi wao kama walivyotenda dhambi

"Kwa wale walotenda dhambi"

Bila sheria pia wataangamia bila sheria

Paulo anarudia "bila sheria" ili kusisitiza kuwa haijalishi kama hawajui sheria ya Musa. Kama wakitenda dhambi Mungu atawahukumu. "Bila kujua sheria za Musa bado watakufa kiroho"

na wingi wao kama walivyotenda dhambi

"Na wote waliotenda dhambi"

Kwa kutii sheria watahukumiwa kwa sheria

"Na kujua sheria za Musa, Mungu atawahukumu kutokana na sheria ya Musa.