sw_tn/rom/01/22.md

414 B

Wanadai kuwa na hekima, lakini wakawa wajinga.

"Walipokuwa wanadai kuwa wana hekima, wakawa wajinga"

Wao...wao

Watu

Wakabadilisha utukufu usioharibika

"wakauza ukweli kuwa Mungu ni mtukufu na hatakufa" au "wakaacha kuamini kuwa Mungu ni mtukufu na hatakufa"

kwa kufananisha na sura ya

"na badala yake walichagua kuabudu sanamu waliotengenezwa kufanana na"

mtu anayeharibika

"mtu ambaye atakufa"