sw_tn/rev/21/26.md

503 B

Wataleta

"Wafalme wa duniani wataleta"

hakuna kichafu kitakachoingia ndani yake kamwe

maneno hasi haya mawili yanaweza kusemwa kwa hali chanya kwa kusema "kile kilicho kisafi tu ndio kitaingia."

bali ni wale tu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "lakini wale tu ambao Mwanakondoo ameandika majina yao katika kitabu cha Uzima"

Mwanakondoo

Huyu ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kuashiria kuwa ni Kristo.