sw_tn/rev/19/intro.md

24 lines
1.1 KiB
Markdown

# Ufunuo 19 maelezo ya jumla
## Muundo na mpangilio
Sura ya 19 inaendeleza maswala yalyomo katika sura ya 18 na kwa hivyo zote mbili zichukuliwe kama kipengele kimoja.
Tafsiri zingine zinaingiza ndani kidogo msitari wa ushairi ili isomeke kwa urahisi. ULB hufanya hivi na ushairi ulioko katika 19:1-8
## Dhana muhimu katika sura hii
### Nyimbo
Mbinguni mara nyingi huelezewa kama mahali ambapo watu wanaimba.Hizo ni nyimbo za kumwabudu Mungu. Hii inaashiria kwamba mbinguni ni mahali ambapo Mungu anaabudiwa kila mara. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/heaven]])
### Sherehe za harusi
Sherehe za harusi ama karamu ni ishara muhimu inayotumika katika maandiko.Katika utamaduni wa Wayahudi, paradiso ama maisha pamoja na Mungu baada ya kifo ilipewa taswira ya karamu. Hapa Yesu anaipatia taswira ya karamu ya harusi ambayo mfalme huandalia mwana wake wa kiume ambaye ameoa sasa hivi. Mbali na hiyo, Yesu anasisitiza kwamba siyo watu wote Mungu hualika watajiandaa vilivyo ili washiriki. Watu kama hawa watatupwa nje ya karamu.
## Links:
* __[Revelation 19:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../18/intro.md) | [>>](../20/intro.md)__