sw_tn/rev/19/19.md

489 B

Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mpandaji wa farasi nyeupe alimkamata mnyama na nabii wa uongo"

chapa ya mnyama

Hii ilikuwa alama ya kuonesha kuwa aliyekuwa nayo alimwabudu mnyama.

Wote wawili walitupwa wangali hai

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu alimtupa mnyama na nabii wa uongo wangali hai"

katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti

"ziwa la moto liwakalo salfa" au "sehemu ilyojaa moto unaowaka salfa"