sw_tn/rev/19/11.md

901 B

Taarifa ya Jumla:

Hapa ni mwanzo wa maono mengine. Yohana anaanza kuelezea mpandaji wa farasi nyeupe.

Kisha niliona mbingu zimefunguka

Hii picha inatumika kuashiria mwanzo wa maono mapya.

yule aliyekuwa amempanda

Aliyempanda ni Yesu.

Huhukumu kwa haki

Hapa "haki" inamaanisha kile kilicho sahihi. "Anahukumu watu wote kulingana na kile kilicho sahihi"

Macho yake ni kama mwali wa moto

Yohana anazungumzia macho ya mpandaji kama vile yaling'aa kama mwali wa moto.

jina lililoandikwa juu yake

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mtu ameandika jina juu yake"

asilolifahamu mtu yeyote isipokuwa yeye mwenyewe

"Yeye tu ndiye ajuae maana ya jina hilo"

Amevaa vazi lililochovywa katika damu

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Damu imefunika vazi lake"

jina lake anaitwa Neno la Mungu

Unaweza kueleza hii kwa hali ya kutenda. "jina lake pia ni Neno la Mungu"