sw_tn/rev/19/05.md

414 B

sauti ilitoka kwenye kiti cha enzi

Hapa Yohana anazungumzia "sauti" kana kwamba ni mtu. "mtu alizungumza kutoka kwenye kiti cha enzi"

Msifuni Mungu wetu

Hapa "wetu" inamaanisha mnenaji na watumishi wote wa Mungu.

ninyi mnaomcha yeye

Hapa ina maana ya kumheshimu Mungu. "wote mnaomheshimu Mungu"

wote wasio na umuhimu na wenye nguvu

Mnenaji anatumia maneno haya pamoja kumaanisha watu wote wa Mungu.