forked from WA-Catalog/sw_tn
414 B
414 B
sauti ilitoka kwenye kiti cha enzi
Hapa Yohana anazungumzia "sauti" kana kwamba ni mtu. "mtu alizungumza kutoka kwenye kiti cha enzi"
Msifuni Mungu wetu
Hapa "wetu" inamaanisha mnenaji na watumishi wote wa Mungu.
ninyi mnaomcha yeye
Hapa ina maana ya kumheshimu Mungu. "wote mnaomheshimu Mungu"
wote wasio na umuhimu na wenye nguvu
Mnenaji anatumia maneno haya pamoja kumaanisha watu wote wa Mungu.