forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
414 B
Markdown
16 lines
414 B
Markdown
|
# sauti ilitoka kwenye kiti cha enzi
|
||
|
|
||
|
Hapa Yohana anazungumzia "sauti" kana kwamba ni mtu. "mtu alizungumza kutoka kwenye kiti cha enzi"
|
||
|
|
||
|
# Msifuni Mungu wetu
|
||
|
|
||
|
Hapa "wetu" inamaanisha mnenaji na watumishi wote wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# ninyi mnaomcha yeye
|
||
|
|
||
|
Hapa ina maana ya kumheshimu Mungu. "wote mnaomheshimu Mungu"
|
||
|
|
||
|
# wote wasio na umuhimu na wenye nguvu
|
||
|
|
||
|
Mnenaji anatumia maneno haya pamoja kumaanisha watu wote wa Mungu.
|