Kauli Unganishi:
Malaika amaliza kuzungumza na Yohana kuhusu kahaba na mnyama.
ni
Hapa "ni" inamaanisha "anawakilisha"
mji ule mkubwa utawalao
Inaposema mji unaotawala, inamaanisha kwamba kiongozi wa mji anatawala. "mji mkuu ambaye kiongozi wake anatawala"