sw_tn/rev/16/15.md

881 B

Taarifa ya Jumla:

Mstari wa 15 ni mapumziko kutoka katika masimulizi makuu ya maono ya Yohana. Haya ni maneno yaliyonenwa na Yesu. Masimulizi yanaendelea mstari wa 16.

Tazama! Ninakuja

Inaweza kuwekwa wazi kwamba Bwana Yesu ndiye aliyesema haya katika UDB. Mabano yanatumika hapa kuonesha kuwa sio sehemu ya masimulizi ya maono.

Ninakuja kama mwizi!

Yesu atakuja wakati watu hawatarajii kama vile mwizi ajavyo asipotarajiwa.

atunzaye mavazi yake

Kuishi njia sahihi inazungumziwa kama mtu kutunza mavazi yake. "kufanya kilicho sahihi kama mtu atunzavyo mavazi yake mwilini"

atunzaye mavazi yake

Tafsiri zingine hutafsiri, "kukaa na mavazi yake"

kuiona aibu yake

Hapa "watakaoina" ni watu wengine.

Waliwaleta pamoja

"roho za mapepo ziliwaleta wafalme na majeshi yao pamoja"

sehemu iliyoitwa

"sehemu watu waitayo"

Amagedoni

Hili ni jina la sehemu.