sw_tn/rev/16/12.md

566 B

limwaga kutoka kwenye bakuli lake

Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake"

maji yake yakakauka

"Na maji yake yalikauka" au "Na kusababisha maji yake kukauka"

zilizoonekana kama chura

Chura ni mnyama mdogo anayeishi karibu na maji. Wayahudi waliwafikiria kuwa wanyama wachafu.

joka

Hili lilikuwa tambaazi kubwa kali, kama mjusi. Kwa wayahudi ilikuwa ni alama ya uovu na machafuko. Joka pia linatambulika katika mstari wa 9 kama "ibilisi au Shetani"