sw_tn/rev/16/08.md

799 B

akamwaga kutoka kwenye bakuli

Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake"

likapewa ruhusa kuunguza watu

Yohana analizungumzia jua kama mtu. "na akasababisha jua kuwachoma watu kwa ukali"

Waliunguzwa kwa joto lenye kutisha

"Lile joto kali sana liliwachoma vibaya"

wakalikufuru jina la Mungu

Hapa jina la Mungu linamuwakilisha Mungu. "walimkufuru Mungu"

mwenye nguvu juu ya mapigo yote

Usemi huu unawakumbusha wasomaji kuhusu jambo ambalo wanalijua kumhusu Mungu. Linasaidia kueleza kwa nini watu walimkufuru Mungu. "kwa sababu ana nguvu juu ya mapigo yote haya"

guvu juu ya mapigo yote

Hii inamaanisha nguvu ya kusababisha haya mapigo kwa watu, na nguvu ya kuyasitisha mapigo.