forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
799 B
Markdown
24 lines
799 B
Markdown
|
# akamwaga kutoka kwenye bakuli
|
||
|
|
||
|
Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake"
|
||
|
|
||
|
# likapewa ruhusa kuunguza watu
|
||
|
|
||
|
Yohana analizungumzia jua kama mtu. "na akasababisha jua kuwachoma watu kwa ukali"
|
||
|
|
||
|
# Waliunguzwa kwa joto lenye kutisha
|
||
|
|
||
|
"Lile joto kali sana liliwachoma vibaya"
|
||
|
|
||
|
# wakalikufuru jina la Mungu
|
||
|
|
||
|
Hapa jina la Mungu linamuwakilisha Mungu. "walimkufuru Mungu"
|
||
|
|
||
|
# mwenye nguvu juu ya mapigo yote
|
||
|
|
||
|
Usemi huu unawakumbusha wasomaji kuhusu jambo ambalo wanalijua kumhusu Mungu. Linasaidia kueleza kwa nini watu walimkufuru Mungu. "kwa sababu ana nguvu juu ya mapigo yote haya"
|
||
|
|
||
|
# guvu juu ya mapigo yote
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha nguvu ya kusababisha haya mapigo kwa watu, na nguvu ya kuyasitisha mapigo.
|