forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
396 B
Markdown
12 lines
396 B
Markdown
# Kauli Unganishi:
|
|
|
|
Yohana aendelea kuelezea sehemu ya maono kuhusu malaika saba na mapigo saba. Mapigo saba ni mabakuli ya ghadhabu ya Mungu.
|
|
|
|
# Nikasikia
|
|
|
|
Aliyesikia ni Yohana.
|
|
|
|
# mabakuli ya ghadhabu ya Mungu
|
|
|
|
Picha ya divai katika bakuli inaweza kuelezwa vizuri. Neno "ghadhabu" hapa inamaanisha adhabu. Divai ni alama ya adhabu. "mabakuli saba yaliojaa divai inayoashiria ghadhabu ya Mungu"
|