sw_tn/rev/16/01.md

396 B

Kauli Unganishi:

Yohana aendelea kuelezea sehemu ya maono kuhusu malaika saba na mapigo saba. Mapigo saba ni mabakuli ya ghadhabu ya Mungu.

Nikasikia

Aliyesikia ni Yohana.

mabakuli ya ghadhabu ya Mungu

Picha ya divai katika bakuli inaweza kuelezwa vizuri. Neno "ghadhabu" hapa inamaanisha adhabu. Divai ni alama ya adhabu. "mabakuli saba yaliojaa divai inayoashiria ghadhabu ya Mungu"