sw_tn/rev/15/01.md

632 B

Taarifa ya Jumla:

Huu mstari ni ufupi wa kitakachotokea katika 15:6-16:21.

kubwa na yenye kushangaza

Maneno haya yanamaana za kukaribiana na yanatumika kwa msisitizo. "jambo lililo nishangaaza sana"

malaika saba wenye mapigo saba

"malaika saba waliokuwa na mamlaka ya kutuma mapigo saba duniani"

ambayo yalikuwa mapigo ya mwisho

"na baada yake, hayatakuwapo mapigo mengine tena"

katika hayo hasira ya Mungu ilikuwa imetimilika

"kwa kuwa mapigo haya yatakamilisha ghadhabu ya Mungu." maana zinazowezekana ni 1) mapigo haya yataonesha hasira yote ya Mungu au 2) baada ya mapigo haya, Mungu hatakuwa na hasira tena.