forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
553 B
Markdown
20 lines
553 B
Markdown
# Mnyama akapewa ... Aliruhusiwa
|
|
|
|
"Mungu alimpa mnyama ... Mungu alimruhusu mnyama"
|
|
|
|
# Mnyama akapewa mdomo ili azungumze maneno ya kujisifu na matusi
|
|
|
|
Kupewa mdomo inamaanisha kuruhusiwa kuzungumza. "Mnyama aliruhusiwa kuzungumza maneno ya majivuno na matusi"
|
|
|
|
# miezi arobaini na miwili
|
|
|
|
mieezi miwili - "miezi 42"
|
|
|
|
# kuongea matusi dhidi ya Mungu
|
|
|
|
"kusema maneno ya kejeli kuhusu Mungu"
|
|
|
|
# akalitukana jina lake, eneo alililokuwa akiishi na wale wanaoishi mbinguni
|
|
|
|
Haya maneno yanaonesha jinsi mnyama alivyozungumza maneno ya matusi dhidi ya Mungu.
|