sw_tn/rev/13/05.md

553 B

Mnyama akapewa ... Aliruhusiwa

"Mungu alimpa mnyama ... Mungu alimruhusu mnyama"

Mnyama akapewa mdomo ili azungumze maneno ya kujisifu na matusi

Kupewa mdomo inamaanisha kuruhusiwa kuzungumza. "Mnyama aliruhusiwa kuzungumza maneno ya majivuno na matusi"

miezi arobaini na miwili

mieezi miwili - "miezi 42"

kuongea matusi dhidi ya Mungu

"kusema maneno ya kejeli kuhusu Mungu"

akalitukana jina lake, eneo alililokuwa akiishi na wale wanaoishi mbinguni

Haya maneno yanaonesha jinsi mnyama alivyozungumza maneno ya matusi dhidi ya Mungu.