sw_tn/rev/12/13.md

459 B

joka alitambua kuwa ametupwa chini kwenye nchi

"joka alitambua ya kwamba Mungu amemtupa nje ya mbingu na kumtuma duniani"

alimfuata mwanamke

"alimfukuza mwanamke"

joka

Hili lilikuwa tambaazi kubwa kali, kama mjusi. Kwa wayahudi ilikuwa ni alama ya uovu na machafuko. Joka linatambulika pia katika mstari wa 9 kama "ibilisi au Shetani"

wakati, nyakati na nusu wakati

"miaka mitatu na nusu"

nyoka

Hii ni njia nyingine yakumaanisha yule joka.