forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1015 B
Markdown
32 lines
1015 B
Markdown
# "nikasikia"
|
|
|
|
anayezungumza ni Yohana.
|
|
|
|
# nikasikia sauti kubwa kutoka mbinguni
|
|
|
|
Neno "sauti" inaonesha mtu anayezungumza. "Nikasikia mtu akinena kwa sauti toka mbinguni"
|
|
|
|
# sasa wokovu umekuja, nguvu
|
|
|
|
Mungu kuwaokoa watu kwa nguvu zake inazungumziwa kana kwamba wokovu wake na nguvu zake ni vitu vinavyoweza kuja. "Sasa Mungu amewaokoa watu wake kwa nguvu zake"
|
|
|
|
# umekuja
|
|
|
|
"kuanza kuwepo kabisa" au "kutokea" au "kuwa kweli." Sio kwamba vitu hivi havikuwepo kabala, lakini sasa Mungu anavidhihirisha kwa sababu wakati wake kutokea "umekuja."
|
|
|
|
# ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake
|
|
|
|
Utawala wa Mungu na mamlaka ya Kristo yanazungumziwa kama vile vinakuja. "Mungu atawala kama mfalme, na Kristo wake anamamlaka yote"
|
|
|
|
# mshitaki wa ndugu zetu ametupwa chini
|
|
|
|
Huyu ni joka aliyetupwa chini katika 12:10
|
|
|
|
# ndugu zetu
|
|
|
|
Waumini wenzao wanazungumziwa kana kwamba walikuwa ni ndugu. "waumini wenzetu"
|
|
|
|
# mchana na usiku
|
|
|
|
Hizi sehemu mbili za siku zinatumika pamoja kumaanisha "wakati wote" au "bila kukoma"
|