sw_tn/rev/09/03.md

28 lines
981 B
Markdown

# nzige
Wadudu wanaopaa pamoja katika makundi makubwa. Watu huwahofia kwa sababu wanaweza kula majani yote kwenye bustani na kwenye miti.
# nguvu kama ile ya nge
Nge wana uwezo kuwadunga na kuwapa sumu watu na wanyama wengine. "uwezo wakudunga watu kama Nge wafanyavyo"
# nge
Wadudu wadogo wenye ncha kali zenye sumu mikiani. Kudungwa nao huacha maumivu makali na yanayodumu muda mrefu.
# Waliambiwa kutokudhuru majani katika nchi au mmea wowote wa kijani au mti
Nzige wa kawaida walikuwa tishio kubwa kwa watu walipokuja, waliweza kula nyasi zote na majani ya mimea na miti. Nzige hizi zilikatazwa kufanya hivyo.
# isipokuwa tu watu
Neno "kudhuru" au "kuumiza" linaeleweka. "lakini kudhuru watu tu"
# muhuri wa Mungu
Neno "muhuri" hapa humaanisha kifaa kinachotumika kuweka alama katika muhuri wa nta. Na hapa, hiki kifaa kitatumika kuweka alama katika watu wa Mungu. "alama ya Mungu" au "stampu ya Mungu"
# paji za nyuso
paji la kichwa ni juu ya uso, juu ya macho.