forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
981 B
Markdown
28 lines
981 B
Markdown
|
# nzige
|
||
|
|
||
|
Wadudu wanaopaa pamoja katika makundi makubwa. Watu huwahofia kwa sababu wanaweza kula majani yote kwenye bustani na kwenye miti.
|
||
|
|
||
|
# nguvu kama ile ya nge
|
||
|
|
||
|
Nge wana uwezo kuwadunga na kuwapa sumu watu na wanyama wengine. "uwezo wakudunga watu kama Nge wafanyavyo"
|
||
|
|
||
|
# nge
|
||
|
|
||
|
Wadudu wadogo wenye ncha kali zenye sumu mikiani. Kudungwa nao huacha maumivu makali na yanayodumu muda mrefu.
|
||
|
|
||
|
# Waliambiwa kutokudhuru majani katika nchi au mmea wowote wa kijani au mti
|
||
|
|
||
|
Nzige wa kawaida walikuwa tishio kubwa kwa watu walipokuja, waliweza kula nyasi zote na majani ya mimea na miti. Nzige hizi zilikatazwa kufanya hivyo.
|
||
|
|
||
|
# isipokuwa tu watu
|
||
|
|
||
|
Neno "kudhuru" au "kuumiza" linaeleweka. "lakini kudhuru watu tu"
|
||
|
|
||
|
# muhuri wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Neno "muhuri" hapa humaanisha kifaa kinachotumika kuweka alama katika muhuri wa nta. Na hapa, hiki kifaa kitatumika kuweka alama katika watu wa Mungu. "alama ya Mungu" au "stampu ya Mungu"
|
||
|
|
||
|
# paji za nyuso
|
||
|
|
||
|
paji la kichwa ni juu ya uso, juu ya macho.
|