sw_tn/rev/08/10.md

657 B

na nyota kubwa ikaanguka kutoka mbinguni, ikimulika kama kurunzi

"na nyota kubwa uliowaka kama tochi ilianguka toka mbinguni." Moto wa ile nyota kubwa ulifanana na moto wa tochi

tochi

kijiti kilichowashwa moto upande moja ilikutoa mwanga

Jina la nyota ni Pakanga

Pakanga ni kichaka kilicho na ladha chungu. watu walitumia kutengeneza dawa na pia waliamini kuwa ilikuwa na sumu. "Jina la nyota ni Uchungu" au "Jina la nyota ni Dawa Chungu"

ikawa Pakanga

Ladha chungu ya maji inazungumziwa ka vile ilkuwa Pakanga. "ikawa chungu kama pakanga" au "ikawa chungu"

wakafa kutokana na maji yaliyokuwa machungu

"wakafa walipokunywa maji machungu"