sw_tn/rev/07/04.md

223 B

waliotiwa muhuri

Hii inaweza kusemwa kama kitenzi. "wale ambao wamewekwa alama na malaika wa Mungu"

144,000

"watu laki moja na elfu arobaini na nne"

Elfu kumi na mbili kutoka kabila

"12,000 kutoka katika kabila"