forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
781 B
Markdown
32 lines
781 B
Markdown
# majemadari
|
|
|
|
Hili neno humaanisha wapambanaji wanao amuru vitani.
|
|
|
|
# mapango
|
|
|
|
Mashimo makubwa kando kando ya mlima.
|
|
|
|
# uso wake
|
|
|
|
Hii humaanisha Mungu. Hawakutaka Mungu awaone na kuwaadhibu.
|
|
|
|
# uso
|
|
|
|
Hapa "uso" unatumilia kuonesha wazo la "uwepo."
|
|
|
|
# siku kuu ya gadhabu yao imewadia
|
|
|
|
Siku ya ghadhabu yao humaanisha ule wakati ambapo watu waovu wataadhibiwa. "hiki ndicho kile kipindi kibaya watakapowaadhibu watu"
|
|
|
|
# imewadia
|
|
|
|
Iliyopo sasa inazungumziwa kama vile imefika.
|
|
|
|
# gadhabu yao
|
|
|
|
"Yao" humaanisha yule aliye katika kiti cha enzi na Mwanakondoo.
|
|
|
|
# nani awezaye kusimama?
|
|
|
|
Kupona au kuendelea kuwa hai vinazungumziwa kama kusimama. Hili swali linatumika kuonesha huzuni yao kuu na uuoga kwamba hakuna mtu awezaye kupona pale Mungu atakopowaadhibu. "Hakuna awezaye kupona"
|