# majemadari Hili neno humaanisha wapambanaji wanao amuru vitani. # mapango Mashimo makubwa kando kando ya mlima. # uso wake Hii humaanisha Mungu. Hawakutaka Mungu awaone na kuwaadhibu. # uso Hapa "uso" unatumilia kuonesha wazo la "uwepo." # siku kuu ya gadhabu yao imewadia Siku ya ghadhabu yao humaanisha ule wakati ambapo watu waovu wataadhibiwa. "hiki ndicho kile kipindi kibaya watakapowaadhibu watu" # imewadia Iliyopo sasa inazungumziwa kama vile imefika. # gadhabu yao "Yao" humaanisha yule aliye katika kiti cha enzi na Mwanakondoo. # nani awezaye kusimama? Kupona au kuendelea kuwa hai vinazungumziwa kama kusimama. Hili swali linatumika kuonesha huzuni yao kuu na uuoga kwamba hakuna mtu awezaye kupona pale Mungu atakopowaadhibu. "Hakuna awezaye kupona"