forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
738 B
Markdown
28 lines
738 B
Markdown
# Kauli unganishi:
|
|
|
|
Yohana anaendelea kueleza alichokiona katika maono ya kiti cha enzi cha Mungu.
|
|
|
|
# Kisha nikaona
|
|
|
|
"Baada ya kuona hivyo vitu ,nikaona"
|
|
|
|
# yule aliyekuwa amekaa katika kiti cha enzi
|
|
|
|
Hii ni sawa sawa na "moja" kama 4:1
|
|
|
|
# gombo lililoandikwa mbele na nyuma
|
|
|
|
"gombo linye maandishi mbele na nyuma"
|
|
|
|
# lilikuwa limetiwa mihuri saba
|
|
|
|
"lilikuwa limefungwa na mihuri saba"
|
|
|
|
# Nani astahiliye kulifungua gombo na kuzivunja mihuri yake?
|
|
|
|
Mtu huyu atahitaji kuivunja mihuri ili kuifungua gombo. "Nani anayestahili kuvunja mihuri na kufungua gombo?"
|
|
|
|
# Nani astahiliye kulifungua gombo na kuzivunja mihuri yake?
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama amri. "Acha yule ambaye anastahili kufanya hivi aje avunje mihuri na kuifungua gombo!"
|