forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
525 B
Markdown
20 lines
525 B
Markdown
# wazee ishirini na wanne
|
|
|
|
wazee wanne -"wazee 24"
|
|
|
|
# taji za dhahabu
|
|
|
|
Hizi zilikua kama mashada ya matawi ya mizeituni na majani ya laurusi zilizopondwa katika dhahabu. Taji za naamna hii za majani walipewa wanariadha washindi vichwani mwao.
|
|
|
|
# miale ya radi
|
|
|
|
Mwanga unaotokea wakati radi ikipiga.
|
|
|
|
# muungurumo ya radi
|
|
|
|
Hii ni miungurumo ya sauti ambayo radi husababisha.
|
|
|
|
# roho saba
|
|
|
|
Namba saba ni alama ya ukamilifu na utimilifu. "Roho saba" humaanisha mojawapo kati ya Roho ya Mungu au roho saba zinazomtumikia Mungu.
|