forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
704 B
Markdown
28 lines
704 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Huu ni mwanzo wa ujumbe wa Mwana wa Adamu kwa malaika wa kanisa la Pergamo.
|
|
|
|
# Pergamo
|
|
|
|
Huu ni mji ndani ya Asia ambapo ni Uturuki ya leo.
|
|
|
|
# upanga mkali, wenye makali kuwili
|
|
|
|
Hii humaanisha upanga wenye makali mawili, ambao umechongeka pande zote ili kukata pande zote.
|
|
|
|
# kiti cha enzi cha shetani
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni 1) nguvu ya Shetani na ushawishi wake juu ya watu, au 2) mahali ambapo Shetani hutawala.
|
|
|
|
# wewe walishika sana jina langu
|
|
|
|
Kuwa na imani dhabiti inazungumziwa kama kushikilia kwa nguvu. "Unaniamini kwa dhabiti"
|
|
|
|
# hukuikana imani yako iliyo kwangu
|
|
|
|
"Imani" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi "kuamini". "hukuacha kuniamini"
|
|
|
|
# Antipasi
|
|
|
|
Hili ni jina la mtu.
|