sw_tn/rev/01/12.md

16 lines
336 B
Markdown

# Kauli unaganishi:
Yohana anaanza kueeleza alichokiona katika maono.
# sauti ya nani
hii humaanisha mtu anayezungumza. "ambaye"
# Mwana wa Adamu
Huu msemo unaelezea umbo la binadamu, mtu anayefanana na binadamu.
# mkanda wa dhababu
kipande cha nguo kilichovaliwa kifuani. Inawezekana kuwa ilikua na nyuzi za dhahabu ndani yake.