sw_tn/rev/01/12.md

336 B

Kauli unaganishi:

Yohana anaanza kueeleza alichokiona katika maono.

sauti ya nani

hii humaanisha mtu anayezungumza. "ambaye"

Mwana wa Adamu

Huu msemo unaelezea umbo la binadamu, mtu anayefanana na binadamu.

mkanda wa dhababu

kipande cha nguo kilichovaliwa kifuani. Inawezekana kuwa ilikua na nyuzi za dhahabu ndani yake.