forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1018 B
Markdown
36 lines
1018 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Yohana anaeleza jinsi maono yake yalivyoanza na maelekezo aliyopewa na Roho.
|
|
|
|
# yenu...nanyi
|
|
|
|
Hii humaanisha waumini katika makanisa saba
|
|
|
|
# anayeshiriki pamoja nanyi katika mateso na ufalme na uvumilivu thabiti ulio katika Yesu
|
|
|
|
"aliye na fungu katika ufalme wa Mungu. Ninateseka pia na kuvimilia majaribu pamoja nanyi kwa sababu sisi ni mali ya Yesu"
|
|
|
|
# kwa sababu ya neno la Mungu
|
|
|
|
"kwa sababu niliwaambia wengine kuhusu neno la Mungu"
|
|
|
|
# katika Roho
|
|
|
|
Yohana anazungumzia kuvutwa na Roho ya Mungu kana kwamba alikua katika Roho. "kushawishika na Roho" au "Roho alinishawishi"
|
|
|
|
# siku ya Bwana
|
|
|
|
siku ya kuabudu kwa waumini wa Kristo
|
|
|
|
# sauti ya juu kama ya tarumbeta
|
|
|
|
Sauti ilikua na sauti kuu sana ikafanana na tarumbeta
|
|
|
|
# tarumbeta
|
|
|
|
Hii humaanisha chombo cha kutengeneza muziki au kuwaita watu kwa ajili ya tangazo au mkutano.
|
|
|
|
# kwenda Smirna, kwenda Pergamo, kwenda Thiatira, kwenda Sardi, kwenda Philadelphia, na kwenda Laodikia
|
|
|
|
Haya ni majina ya miji uliko Asia ambayo ni Uturuki ya leo
|