sw_tn/rev/01/01.md

788 B

Taarifa ya Jumla:

Huu ni utangulizi wa kitabu cha Ufunuo. Unaeleza kuwa ni ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo na unawabariki wote wausomao.

watumishi wake

Hii humaanisha watu wamwaminio Kristo

Nini lazima kitokee hivi punde

"matukio ya lazima kutokea hivi punde"

Kufanywa kujulikana

"kufanywa mawasiliano"

Kwa mtumishi wake Yohana

Yohana aliandika kitabu hiki na alikuwa akijitaja yeye mwenyewe: "kwangu, Yohana, mtumishi wake"

Neno la Mungu

Hii humaanisha ni ujumbe Yohana aliopewa na Mungu.

Yule anayesoma kwa sauti

Hii haihusishi mtu bayana. Inahusisha mtu yeyote anayesoma kwa sauti. "Yeyote anayesoma kwa sauti"

Tii kilichoandikwa ndani

"amini kilichoandikwa humo na kutii amri zilizomo"

Muda umekaribia

"vitu ambavyo lazima vitokee vitatokea karibuni"