forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
788 B
Markdown
36 lines
788 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Huu ni utangulizi wa kitabu cha Ufunuo. Unaeleza kuwa ni ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo na unawabariki wote wausomao.
|
||
|
|
||
|
# watumishi wake
|
||
|
|
||
|
Hii humaanisha watu wamwaminio Kristo
|
||
|
|
||
|
# Nini lazima kitokee hivi punde
|
||
|
|
||
|
"matukio ya lazima kutokea hivi punde"
|
||
|
|
||
|
# Kufanywa kujulikana
|
||
|
|
||
|
"kufanywa mawasiliano"
|
||
|
|
||
|
# Kwa mtumishi wake Yohana
|
||
|
|
||
|
Yohana aliandika kitabu hiki na alikuwa akijitaja yeye mwenyewe: "kwangu, Yohana, mtumishi wake"
|
||
|
|
||
|
# Neno la Mungu
|
||
|
|
||
|
Hii humaanisha ni ujumbe Yohana aliopewa na Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Yule anayesoma kwa sauti
|
||
|
|
||
|
Hii haihusishi mtu bayana. Inahusisha mtu yeyote anayesoma kwa sauti. "Yeyote anayesoma kwa sauti"
|
||
|
|
||
|
# Tii kilichoandikwa ndani
|
||
|
|
||
|
"amini kilichoandikwa humo na kutii amri zilizomo"
|
||
|
|
||
|
# Muda umekaribia
|
||
|
|
||
|
"vitu ambavyo lazima vitokee vitatokea karibuni"
|