sw_tn/psa/147/017.md

618 B

Huigawa mvua ya mawe kama makombo

Yahwe husambaza mvua ya mawe kwa wepesi kama mtu anavyosambaza chembechembe za mkate. "Huigawa mvua ya mawe kwa urahisi, kana kwamba ni makombo"

Huigawa

"Hutuma"

mvua ya mawe

mvua yenye vipande vidogo vya barafu kutoka angani

nani anawezakustahimili baridi anayoituma

Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza kuwa ni vigumu kuvumilia hali ya hewa ya baridi ambayo Yahwe husababisha. "hakuna anayeweza kuishi katika baridi anayoituma"

Hutuma amri yake na kuyayeyusha

Mwandishi anazungumzia amri ya yahwe kana kwamba ilikuwa ni mjumbe wake. "Huamuru barafu kuyeyuka"