forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
618 B
Markdown
20 lines
618 B
Markdown
|
# Huigawa mvua ya mawe kama makombo
|
||
|
|
||
|
Yahwe husambaza mvua ya mawe kwa wepesi kama mtu anavyosambaza chembechembe za mkate. "Huigawa mvua ya mawe kwa urahisi, kana kwamba ni makombo"
|
||
|
|
||
|
# Huigawa
|
||
|
|
||
|
"Hutuma"
|
||
|
|
||
|
# mvua ya mawe
|
||
|
|
||
|
mvua yenye vipande vidogo vya barafu kutoka angani
|
||
|
|
||
|
# nani anawezakustahimili baridi anayoituma
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza kuwa ni vigumu kuvumilia hali ya hewa ya baridi ambayo Yahwe husababisha. "hakuna anayeweza kuishi katika baridi anayoituma"
|
||
|
|
||
|
# Hutuma amri yake na kuyayeyusha
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia amri ya yahwe kana kwamba ilikuwa ni mjumbe wake. "Huamuru barafu kuyeyuka"
|