sw_tn/psa/146/003.md

461 B

kwa wana wa wafalme

Hapa "wana wa wafalme" inawakilishwa viongozi wote wanadamu.

kwa wanadamu, ambamo hakuna wokovu

"kwa mtu yeyote kwa sababu hawezi kukuokoa"

kwa wanadamu

"kwa watu"

Pumzi ya mtu inaposimama

Hii ni njia ya ustarabu ya kumaanisha mtu anakufa. "Mtu anapokufa"

anarudi mavumbini

Hii inamaanisha kamaMungu alivyomuumba binadamu wa kwanza, Adamu, kutoka mavumbini, hivyo pia mwili wa mtu utaoza na kuwa mavumbi tena atakapokufa.