sw_tn/psa/144/005.md

483 B

sababishe ... ije chini ... gusa ... ifanye ... Tuma ... uwatawanye ... piga ... warudishe

Haya maneno yanatakiwa kutafsiriwa kama maombi na sio amri kwa sababu mwandishi anatambua kuwa Mungu ni mkuu zaidi yake.

Sababisha anga izame

Maana zinazowezekana ni 1) pasua anga wazi au 2) kunja mbigu kama tawi la mti linavyojikunja mtu anapotembea juu yake au kama mtu anavyokunja upinde kabla ya kupiga mishale.

katika kuchanganyikiwa

"ili wasijue wawaze nini au wafanye nini"