sw_tn/psa/138/005.md

338 B

Yahwe yuko juu, lakini anawajali walio chini

Yahwe yuko juu ya uumbaji wote katika nguvu, nafasi, na mamlaka. Lakini shauku lake ni kwa wale walio wanyenyekevu wa moyo, watumishi kwa wote. Hii ni tofauti rahisi.

wenye majivuno anawajua kwa mbali

Msemo huu unaweza kuwa unamaanisha kuwa Mungu sio mwaminifu kwa wale wenye majivuno.