forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
419 B
Markdown
12 lines
419 B
Markdown
# Makuhani wako wavikwe na uadilifu
|
|
|
|
Uadilifu unazungumziwa kana kwamba ni nguo. "Watu watambue kuwa makuhani wako wana uadilifu" au "Nataka watu waone kuwa makuhani wako daima hufanya kilicho sawa"
|
|
|
|
# Kwa ajili ya mtumishi wako Daudi
|
|
|
|
"Kwa sabau ya kilichotokea kwa mtumishi wako Daudi."
|
|
|
|
# usigeuke kutoka kwa mfalme wake aliyetiwa mafuta
|
|
|
|
Hapa "kugeuka" inamaanisha kumkataa mtu. "usimuache mfalme uliyemtia mafuta"
|